• HABARI
  • ZAIMA TV
Zanzibar Daima
News Ticker
  • [ May 2, 2019 ] Muungano unalindwa kwa nguvu MCHAMBUZI MAALUM
  • [ May 2, 2019 ] Masauni amelewa pombe gani? MCHAMBUZI MAALUM
  • [ April 29, 2019 ] Khalifa Hatfar: Kibaraka wa Marekani au mwokozi wa Libya? MCHAMBUZI MAALUM
  • [ April 21, 2019 ] Sudan: Mapinduzi bado kukamilika AFRIKA
  • [ April 12, 2019 ] Algeria: Darasa za bure barabarani MCHAMBUZI MAALUM
Home2015December

Month: December 2015

HABARI

CUF yatoa sababu 4 kutoshiriki sherehe za Mapinduzi

December 31, 2015 Zanzibar Daima 0

Tokea yalipofanyika Mapinduzi ya tarehe 12 Januari, 1964, tumekuwa tukiadhimisha tukio hilo kubwa katika historia ya Zanzibar kila mwaka inapofika siku hiyo. Tukio hilo kubwa ndilo lililopelekea kutangazwa kwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar na Endelea

HABARI

CCM hawaambiani ukweli – Jussa

December 31, 2015 Zanzibar Daima 0

Tokea Chama cha Mapinduzi (CCM) kupata kipigo cha kihistoria katika Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar wa tarehe 25 Oktoba, 2015 ambapo kilizidiwa na Chama cha Wananchi (CUF) kwa kura 25,831 kimekuwa kikiweweseka kwa madai ya kwamba Endelea

HABARI

Dk. Shein ajiulize ikiwa anataka kuleta vurugu Z’bar – Prof. Lipumba

December 30, 2015 Zanzibar Daima 0

Moja ya mafanikio makubwa ya Rais Kikwete ni kuimarisha uhusiano wa Tanzania na mataifa makubwa hususan Marekani na China. Rais Kikwete alifanikisha Tanzania kupata msaada mkubwa wa Millennium Challenge Corporation – MCC wa dola milioni Endelea

HABARI

Siku Nahodha ‘alipotumbua’ jipu

December 29, 2015 Zanzibar Daima 0

Mnamo tarehe 10 Juni 2015, niliandika makala iitwayo “CCM Zanzibar haina uhalali kujinasibisha na mapinduzi” nikionesha jinsi mwakilishi wa zamani wa jimbo la Mwanakwerekwe, Waziri Kiongozi Mstaafu, waziri wa zamani wa mambo ya ndani na pia ya Endelea

HABARI

CCM na upotoshaji wa kilichopotoka

December 28, 2015 Zanzibar Daima 0

Kuna kitu kinapotoshwa kama si kwa bahati mbaya basi ni kwa kukusudia, Kamati Maalum ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Zanzibar, imekutana kujadili hali ya kisiasa Zanzibar, taarifa iliyotolewa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Endelea

HABARI

CCM Zanzibar yatoka mafichoni kuitambua kamati waliyoikana

December 28, 2015 Zanzibar Daima 0

Dkt. Ali Mohamed Sheni ndie Makamo mwenyekiti wa CCM, ambapo kwa upande wa Zanzibar yeye ndiye mtendaji mkuu kupitia chama hicho kikongwe ambacho katika uchaguzi wa 25 Oktoba 2015 kilonekana kilipitwa kwa tofauti ya kura Endelea

KALAMU YA GHASSANI

Makosa matatu ya kuepukwa na Magufuli kwa Zanzibar

December 24, 2015 Zanzibar Daima 0

Kwa mara nyengine tena, Zanzibar imo kwenye mzozo usioweza kuelezeka kwa msamiati wowote zaidi ya uhuni wa waroho wa madaraka, japokuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Masuala ya Afrika Mashariki na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Endelea

HABARI

Kwa la Zanzibar, Magufuli apewe nafasi kabla lawama

December 23, 2015 Zanzibar Daima 1

Nimesoma kwa kiasi kikubwa maoni ya watu kupitia mitandao ya kijamii na makala ya baadhi ya magazeti kuhusu hatua ya kukutana na mazungumzo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, Endelea

Posts navigation

1 2 »

Tafuta

Maktaba

Utawala
  • Log in
  • Entries feed
  • Comments feed
  • Powered by WordPress.com.
Tuwasiliane
office@zanzibardaima.net
Jumatatu - Ijumaa
10:00 Hrs - 17:00 Hrs
Subscribe to Blog via Email

Enter your email address to subscribe to this blog and receive notifications of new posts by email.

Join 11,558 other subscribers

Zaima Media Network