
Kuzuiwa kwa mkutano wa demokrasia ulioandaliwa na UKAWA kwa kushirikiana na asasi za kijamii, matatizo kwenye sekta ya elimu pamoja na muendelezo wa vuta nikuvute bungeni ni habari zilizopewa kipaumbele hivi leo.
Kuzuiwa kwa mkutano wa demokrasia ulioandaliwa na UKAWA kwa kushirikiana na asasi za kijamii, matatizo kwenye sekta ya elimu pamoja na muendelezo wa vuta nikuvute bungeni ni habari zilizopewa kipaumbele hivi leo.
KATIKA siasa za Tanzania kuna kupakaziana kwa kila aina, walio madarakani huwakazia wa upande ule wanaoitwa wapinzani. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kiliitwa chama cha Wachaga kwa sababu mwaasisi wake ni Eddwin Mtei. Hawakusema Endelea
Mkononi mwangu nina kitabu kiitwacho ‘A Golden Opportunity? Justice & Respect in Mining’ (Fursa ya Dhahabu? Haki na Heshima kwenye Madini) cha mwaka 2008. Waandishi wake ni wawili – Mark Curtis na Tundu Lissu. Ni Endelea
Kijana wa Kitanzania, Mpaluka Said Nyagali, maarufu kwenye mitandao ya kijamii kama Mdude Nyagali, ameshinda kesi ya uchochezi dhidi yake na sasa anaitaka serikali kupitia vyombo vyake vilivyoshiriki kwenye mateso makubwa aliyopitia ndani ya kipindi Endelea
Zaima Media Network
Be the first to comment