
Shirika la kutetea haki za binaadamu la LHRC nchini Tanzania linasema kwamba Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini humo ni miongoni mwa taasisi zilizoshindwa kutimiza majukumu yake kisheria kwenye chaguzi ndogo za hivi karibuni, na hivyo kuwa moja ya vyanzo vya machafuko yaliyopelekea vifo na uvunjwaji mkubwa wa haki za binaadamu.
Be the first to comment