• HABARI
  • ZAIMA TV
Zanzibar Daima
News Ticker
  • [ May 2, 2019 ] Muungano unalindwa kwa nguvu MCHAMBUZI MAALUM
  • [ May 2, 2019 ] Masauni amelewa pombe gani? MCHAMBUZI MAALUM
  • [ April 29, 2019 ] Khalifa Hatfar: Kibaraka wa Marekani au mwokozi wa Libya? MCHAMBUZI MAALUM
  • [ April 21, 2019 ] Sudan: Mapinduzi bado kukamilika AFRIKA
  • [ April 12, 2019 ] Algeria: Darasa za bure barabarani MCHAMBUZI MAALUM
Home2018March

Month: March 2018

HABARI

SMZ inawabagua CUF, Wapemba – Maalim Seif

March 28, 2018 Zanzibar Daima 0

Akiorodhesha mifano kadhaa iliyotokea tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu uliopita, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, ameituhumu Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) chini ya uongozi wa Dk. Ali Mohammed Endelea

MCHAMBUZI MAALUM

Zanzibar haishiriki wala haishirikishwi sera, sheria za Muungano

March 28, 2018 Zanzibar Daima 0

Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, amesema kwamba muundo wa Muungano ulivyo na unavyotekelezwa unaitenga kando Zanzibar kwenye utungaji wa sera na sheria zinazousimamia Muungano wenyewe, hali ambayo inaiweka Zanzibar kwenye nafasi Endelea

HABARI

Kulala viongozi sita rumande haijapata kutokea-Zitto

March 28, 2018 Zanzibar Daima 0

Baada ya viongozi sita wa ngazi ya juu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akiwemo Mwenyekiti wa Chama hicho, Freeman Mbowe kukosa dhamana jana na  kurudishwa rumande. Mbunge wa Kigoma mjini na kiongozi wa Endelea

HABARI

Maalim Seif hajashindwa kuirejesha haki ya Oktoba 25 – Jussa

March 27, 2018 Zanzibar Daima 0

Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa CUF, Ismail Jussa, amesema kuwa katibu mkuu wa chama chake, Maalim Seif Sharif Hamad, bado hajashindwa hadi sasa kuirejesha haki yao iliyoporwa ya ushindi wa Endelea

HABARI

Mbowe na wenzake wafutiwa dhamana, wasubiri kupandishwa kizimbani

March 27, 2018 Zanzibar Daima 0

Viongozi sita wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), akiwamo Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe wamefutiwa dhamana na kuwekwa mahabusu katika Kituo Kikuu cha Polisi (Central), jijini Dar es Salaam. Pamoja na Mbowe, viongozi Endelea

AFRIKA

Miguna Miguna azuia kupandishwa ndege kwa nguvu

March 27, 2018 Zanzibar Daima 0

Mwanasheria na mwanaharakati wa Kenya mwenye uraia pia wa Canada, Miguna Miguna, amezuia operesheni ya kumpandisha ndege kwa nguvu kumpeleka Dubai iliyochukuliwa na mamlaka za uhamiaji na vyombo vya usalama vya Kenya usiku wa jana Endelea

HABARI

Maalim Seif awashukia Lipumba,Jaji Mutungi

March 26, 2018 Zanzibar Daima 0

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Shariff Hamad amesikitishwa na Mwenyekiti wa zamani wa chama hicho  Profesa Ibrahim Lipumba kwa kuendeshwa kama kishada na kufanya kazi na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Maalim Endelea

HABARI

Maalim Seif aunga mkono waraka wa KKKT

March 26, 2018 Zanzibar Daima 0

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema amefarijika sana kuona Kanisa la Kilutheri la Tanzania (KKKT) limetoa waraka wa kuzungumzia hali halisi ya nchi katika wakati ambapo vitendo vinavyokinzana na Endelea

Posts navigation

« 1 2 3 … 8 »

Tafuta

Maktaba

Utawala
  • Log in
  • Entries feed
  • Comments feed
  • Powered by WordPress.com.
Tuwasiliane
office@zanzibardaima.net
Jumatatu - Ijumaa
10:00 Hrs - 17:00 Hrs
Subscribe to Blog via Email

Enter your email address to subscribe to this blog and receive notifications of new posts by email.

Join 11,558 other subscribers

Zaima Media Network