
Serikali, dini na maslahi ya kisiasa
NAMNA akili zetu zilivyolemazwa kwa siku nyingi, tumefikishwa pahala ambapo tunaogopa hata kuizungumzia nafasi ya dini katika maisha yetu wenyewe. Wenye khatamu za ulimwengu na za nchi wametufanya tuone, na tuamini, kuwa kuihusisha dini na Endelea