• HABARI
  • ZAIMA TV
Zanzibar Daima
News Ticker
  • [ May 2, 2019 ] Muungano unalindwa kwa nguvu MCHAMBUZI MAALUM
  • [ May 2, 2019 ] Masauni amelewa pombe gani? MCHAMBUZI MAALUM
  • [ April 29, 2019 ] Khalifa Hatfar: Kibaraka wa Marekani au mwokozi wa Libya? MCHAMBUZI MAALUM
  • [ April 21, 2019 ] Sudan: Mapinduzi bado kukamilika AFRIKA
  • [ April 12, 2019 ] Algeria: Darasa za bure barabarani MCHAMBUZI MAALUM
Homeshein

shein

HABARI

Maalim Seif asema serikali ya Shein haipo kikatiba na itaondoka 

June 4, 2017 Zanzibar Daima 0

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema serikali ya Zanzibar inayoongozwa sasa na Dk. Ali Mohamed Shein haipo kikatiba na kwamba lazima itaondoka.  Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Endelea

HABARI

Je, kifo cha Jumbe chaweza kututanabahisha Wazanzibari?

August 17, 2016 Zanzibar Daima 0

Mzee Aboud Jumbe Mwinyi, aliyewahi kuwa rais wa Zanzibar, makamu rais wa Tanzania, makamu mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na – kubwa kuliko yote – kiongozi aliyefunguwa milango ya demokrasia baada ya Mapinduzi ya Endelea

HABARI

Dk. Shein, je haya yatosha kuwa thamani ya urais wako?

July 13, 2016 Zanzibar Daima 0

Maswali yangu hasa kwa Dk. Ali Mohamed Shein nitayaweka mwisho wa makala hii, lakini nitatanguliza kwanza kile kilichonisukuma kuyauliza maswali yenyewe, nacho ni hali ngumu inayopitia nchi yangu, Zanzibar, kwa sasa, ili tu kuhalalisha urais Endelea

HABARI

Je, mlango wa Ouattarra utakuwa wa Maalim Seif?

June 15, 2016 Zanzibar Daima 0

Ni miezi imepita tangu kufanyika kwa kile kiitwacho “Uchaguzi Mkuu wa Marudio” wa Machi 20 baada ya ule wa awali wa Oktoba 25 “kufutwa” na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Endelea

HABARI

Dk. Shein, Dadi na Msangi, kwani Mungu si Mbora wa kuhukumu?

May 27, 2016 Zanzibar Daima 1

Ni Qur’an ndiyo inayouliza swali hilo katika sura yake ya 95, aya ya 7. Namna ilivyokuwa na miujiza, katika aya ya 4 ya sura hiyo hiyo, Qur’an inaelezea namna Mwenyezi Mungu anavyojisifu kwa kumuumba mwanaadamu Endelea

HABARI

“Mazombi wa Z’bar ‘waipaisha’ Tanzania kimataifa”

May 22, 2016 Zanzibar Daima 0

Tunazo taarifa pia kwamba kuna njama za kuwakamata tena viongozi mashuhuri wa CUF na hasa Mhe. Mansoor Yussuf Himid na Mhe. Mohamed Ahmed Sultan (maarufu kwa jina la Eddy Riyami) na kuwaleta katika magereza ya Endelea

Maalim Seif
HABARI

Dk. Shein hana ubavu wa kuendesha serikali bila misaada – Maalim Seif

April 10, 2016 Zanzibar Daima 0

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema kuwa licha ya Dk. Ali Mohamed Shein kujisifu kuwa hatategemea wafadhili wa kimaendeleo, kiongozi huyo aliyeingia madarakani kwa uchaguzi wenye utata hana uwezo Endelea

Dk. Ali Mohamed Shein
HABARI

Dk. Shein, Wazanzibari hawakuikataa SUK, walikukataa wewe

April 6, 2016 Zanzibar Daima 0

Takribani wiki tatu zilizopita, nilimtabiria Dk. Ali Mohamed Shein kuwa ataiishi miaka yake hii mitano kwenye Ikulu ya Mnazi Mmoja kwa mateso makubwa nafsini mwake. Nilitumia taswira ya mtu ajitazamaye kiooni na kuuona uhalisia kuhusu Endelea

Posts navigation

1 2 »

Tafuta

Maktaba

Utawala
  • Log in
  • Entries feed
  • Comments feed
  • Powered by WordPress.com.
Tuwasiliane
office@zanzibardaima.net
Jumatatu - Ijumaa
10:00 Hrs - 17:00 Hrs
Subscribe to Blog via Email

Enter your email address to subscribe to this blog and receive notifications of new posts by email.

Join 11,558 other subscribers

Zaima Media Network